- Ayubu 11:18, 19 - Nawe utakuwa salama, kwa sababu kuna matumaini; Naam, utatafuta-tafuta kando yako, na kupumzika katika salama. Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu; Naam, wengi watakutafuta uso wako.
- Zaburi 3:5 - Nalijilaza nikalala usingizi, nikaamka, Kwa kuwa Bwana ananitegemeza.
- Zaburi 4:8 - Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, Bwana, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.
- Zaburi 91:5 - Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,
- Mithali 3:24 -Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.
Friday, October 21, 2016
USINGIZI MZURI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment