Friday, October 21, 2016

USINGIZI MZURI



  • Ayubu 11:18, 19 - Nawe utakuwa salama, kwa sababu kuna matumaini; Naam, utatafuta-tafuta kando yako, na kupumzika katika salama. Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu; Naam, wengi watakutafuta uso wako.
  • Zaburi 3:5 - Nalijilaza nikalala usingizi, nikaamka, Kwa kuwa Bwana ananitegemeza.
  • Zaburi 4:8 - Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, Bwana, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.
  • Zaburi 91:5 - Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,
  • Mithali 3:24 -Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

No comments:

Post a Comment