TUMIA VIPENGELE HIVI VITAKUSAIDIA KATIKA KUKUA KIROHO KATIKA SWALA LA MAOMBI.
- Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni,
nanyi mtafunguliwa; Mathayo 7:7
- Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani
yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. - Yohana 15:7
- Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo
makubwa, magumu usiyoyajua. - Yeremia
33:3
- Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo
wenu wote. - Yeremia 29:13
- Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na
wakiwa katika kunena, nitasikia. -
Isaya 65:24
- Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana
duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu
aliye mbinguni. Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina
langu, nami nipo papo hapo katikati yao. - Mathayo 18:19,20
- Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba
kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Na kama tukijua kwamba atusikia,
tuombacho chote, twajua kwamba tunazo zile haja tulizomwomba. - I Yohana 5:14,15
- ombeni bila kukoma; I Wathesalonike 5:17
- Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana
asingesikia. Hakika Mungu amesikia; Ameisikiliza sauti ya maombi yangu. - Zaburi 66:18,19
- Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka
ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; lakini nimekuombea wewe ili imani
yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. - Luka 22:31,32
- Naye, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao
Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee. - Waebrania 7:25
- Basi, nataka wanaume wasalishe kila mahali, huku
wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano. I Timotheo 2:8
- Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana
hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua
kusikoweza kutamkwa. Na yeye aichunguzaye mioyo aijua nia ya Roho ilivyo,
kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo Mungu. - Warumi 8:26,27
- Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali,
aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. - Marko 11:24
- na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa
twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake. - I Yohana 3:22
- Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba,
akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama
nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. -Mathayo 26:39
- Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani,
na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na
Baba yako aonaye sirini atakujazi. Nanyi mkiwa katika kusali,
msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa
watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. - Mathayo 6:6,7
- Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili
tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji. - Waebrania 4:16
- kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika
Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote; - Waefeso 6:18
- Basi, nataka wanaume wasalishe kila mahali, huku
wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano. I Timotheo 2:8
- Jioni, asubuhi, na adhuhuri nitalalama na kuugua, Naye
ataisikia sauti yangu. - Zaburi
55:17
- Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa, Asiyadharau
maombi yao. -
Zaburi 102:17
- Haleluya. Nampenda Bwana kwa kuwa anaisikiliza Sauti
yangu na dua zangu. Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita
siku zangu zote. - Zaburi 116:1,2
- Zaburi
55:17 - Jioni, asubuhi, na adhuhuri
nitalalama na kuugua, Naye ataisikia sauti yangu.
- Zaburi
102:17 - Atakapoyaelekea maombi yake
aliye mkiwa, Asiyadharau maombi yao.
- Zaburi
116:1, 2 -Haleluya. Nampenda Bwana kwa
kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu. Kwa maana amenitegea sikio
lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.
- Isaya
30:19B - Kwa maana watu watakaa katika
Sayuni huko Yerusalemu; wewe hutalia tena; hakika yake atakuonea rehema
nyingi kwa sauti ya kilio chako; asikiapo ndipo atakapokujibu.
- Isaya
65:24 - Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na
wakiwa katika kunena, nitasikia.
- Yeremia
33:3 - Niite, nami nitakuitikia, nami
nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.
- Mathayo
6:5 - Tena msalipo, msiwe kama wanafiki;
kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika
pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata
thawabu yao.
- Mathayo
18:18, 19B, 20 -Amin, nawaambieni, yo yote
mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote
mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni. Tena nawaambia,
ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote
watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. Kwa kuwa walipo
wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati
yao.
- Yohana
14:13, 14 - Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya,
ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu,
nitalifanya.
- Yohana
15:7 - Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani
yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.
- Yohana
16:23B, 24 - Tena siku ile hamtaniuliza
neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa
kwa jina langu. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi
mtapata; furaha yenu iwe timilifu.
- Yakobo
4:8A - Mkaribieni Mungu, naye
atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na
kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
- 1Yohana
3:22 - Na lo lote tuombalo, twalipokea
kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni
pake.
- 1Yohana
5:14, 15 - Na huu ndio ujasiri tulio nao
kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Na kama
tukijua kwamba atusikia, tuombacho chote, twajua kwamba tunazo zile haja
tulizomwomba.
- Isaya
45:11 - Bwana, Mtakatifu wa Israeli,
na Muumba wake, asema hivi; Niulize habari za mambo yatakayokuja; mambo ya
wana wangu, na habari ya kazi ya mikono yangu; haya! Niagizeni.
- Yeremia
29:13 - Nanyi mtanitafuta na kuniona,
mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
- Mathayo
21:21B, 21D, 22 -Yesu
akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka,
mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng'oka,
ukatupwe baharini, litatendeka. Na yo yote mtakayoyaomba katika sala
mkiamini, mtapokea.
- Marko
11:24 - Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo
yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.
- Luka
11:9, 10 - Nami nawaambia, Ombeni, nanyi
mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa. Kwa kuwa
kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
- Warumi
4:20, 21- Lakini akiiona ahadi ya Mungu
hakusita kwa kutokuamini, bali alitiwa nguvu kwa imani, akimtukuza Mungu;
huku akijua hakika ya kuwa Mungu aweza kufanya yale aliyoahidi.
- Waefeso
3:20 - Basi atukuzwe yeye awezaye
kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa
kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;
- Waebrania
4:16 - Basi na tukikaribie kiti cha
neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati
wa mahitaji.
- Waebrania
11:6 - Lakini pasipo imani
haiwezekani kumpendeza; Kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini
kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
- Yakobo
1:6, 7 - Ila na aombe kwa imani, pasipo shaka yo yote; maana
mwenye shaka ni kama wimbi la bahari lililochukuliwa na upepo, na
kupeperushwa huku na huku. Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea
kitu kwa Bwana.
- 1Yohana
5:14 - Na huu ndio ujasiri tulio nao
kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
- Zaburi
5:3 - Bwana, asubuhi utaisikia sauti
yangu, Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.
- Zaburi
63:1 - Ee MUNGU, Mungu wangu,
nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea
shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.
- Zaburi
119:2 - Heri wazitiio shuhuda zake,
Wamtafutao kwa moyo wote.
- Mathayo
6:6 - Bali wewe usalipo, ingia
katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele
za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
- 2
Samweli 22:5-7 -Maana mawimbi ya mauti
yalinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu. Kamba za kuzimu
zilinizunguka; Mitego ya mauti ikanikabili. Katika shida yangu nalimwita
Bwana, Naam, nikamlalamikia Mungu wangu;
- Zaburi
22:24 - Maana hakulidharau teso la
mteswa, Wala hakuchukizwa nalo; Wala hakumficha uso wake, Bali alipomlilia
akamsikia.
- Zaburi
50:15 -Ukaniite siku ya mateso;
Nitakuokoa, na wewe utanitukuza.
- Zaburi
62:8 -Enyi watu, mtumainini sikuzote,
Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.
- Zaburi
106:44, 45 - Lakini aliyaangalia mateso
yao, Aliposikia kilio chao. Akawakumbukia agano lake; Akawahurumia kwa
wingi wa fadhili zake;
- Zaburi
119:10 - Kwa moyo wangu wote
nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.
- Isaya
55:6 -Mtafuteni Bwana, maadamu
anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu;
- Isaya
64:7 - Tena hapana aliitiaye jina
lako, ajitahidiye akushike; kwa kuwa umetuficha uso wako, nawe
umetukomesha kwa njia ya maovu yetu.
- Yeremia
29:13 - Nanyi mtanitafuta na kuniona,
mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
- Maombolezo
2:19 - Inuka, ulalamike usiku, Mwanzo
wa makesha yake; Mimina moyo wako kama maji usoni pa Bwana; Umwinulie
mikono yako; Kwa uhai wa watoto wako wachanga wazimiao kwa njaa, Mwanzo wa
kila njia kuu.
- Maombolezo
3:40, 41 - Na tuchunguze njia zetu na
kuzijaribu, Na kumrudia Bwana tena. Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni
Mioyo yetu na mikono.
- Yoeli
2:12 - Lakini hata sasa, asema Bwana,
nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa
kuombolea;
Mathayo 17:21 - Lakini namna hii
haitoki ila kwa kusali na kufunga.
No comments:
Post a Comment