by William Meja
i.
Ili kuwa na ushiik na Mungu – Johana 4:24,Deut
4:24.
ii.
Kudhihirisha asili yake – zaburi 82:6(kimwili
sisi ni watoto wa wanadamu lakini kiroho sis ni watoto wa Mungu.)- waefeso
3:10-11.
iii.
Kupanua ufalme wake duniani
iv.
Kuwe uzao wake – tuwe vifaa vya upendo na
utukufu – john 4:8,16.
v.
Kuwa Baba kutupatia mahitaji binafsi – mathayo
6:31-33.
vi.
Kuwa Baba na kutupatia mahitaji ya ufalme-
yohana 15:15.
vii.
Aweze kuachilia hukumu yake ya haki –
1wakorintho 6:3,15:42-44,52-53,isaya 65:17.
No comments:
Post a Comment