Thursday, November 10, 2016

breakfast




πŸ™BREAKFASTπŸ™ CHUNGUZA NJIA ZAKO.
Waefeso 5.
15 Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
16 mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
✍😳😳Bwana anataka tukomboe wakati, Nyakati hizi ni za hatari zimejaa uovu mwingi.
βœπŸ‘‰πŸΌHuna sababu ya kuwa na *marafiki 500 whatsap, 500 facebook, Contact 500 wasiokuwa na msaada wowote kwako*. βœπŸ‘‰πŸΌKumbuka Mungu yupo na wewe nyakati zote kwenye shida na Raha. βœπŸ‘‰πŸΌUnachek mpira dk 90, Movie Usiku kucha halafu, Unakosa kufanya maombi hata saa 1. kisa *Uchovu*. CHUKUA HATUA YA KUKOMBOA WAKATI NYAKATI HIZI NI ZAMA ZA UOVU. 🌽By Es Meja🌽


No comments:

Post a Comment