Thursday, October 23, 2014

PRAYER POINTS



JINSI UTAKAVYOOMBA NA KUPOKEA MIUJIZA

UTANGULIZI.
Namshukuru sana mwenyezi mungu aliyeniongoza katika kuandaa hivi vipengele vya maombi. Mimi nimevitumia na naendelea kuvitumia na nitavitumia hivi vipengere na vimenifikisha hapa nilipo. Nimeweza kutambua kwamba kweli mungu ana nafasi yake katika maisha yetu. Ukipata nafasi tumia hivi vifungo (prayer points) zitaweza kukusaidia sana katika maisha yako. Nimeguswa na maandiko ya Ezekieli 33:8-9 ndiyo maana nikaandaa hivi vipengele.



UJUMBE WANGU KWA WATUMIAJI.
AYUBU 22:21, 22:28
      WAEFESO 3:20
    YOHANA 14:15
v   ISAYA 62:6,7.
SALA
Ninakushauri pia kutumia sala hii ambayo mtume Paulo aliitumia. Pia ninaushuhuda wawatu waliotumia hii sala na pia wamefanikiwa na sisi tunashauriwa kutumia sala hii.
Waefeso 1:15-20.
HATUA NA JINSI YA KUTUMIA VIPENGELE HIVI VYA MAOMBI
HATUA 1:  HAKIKISHA UMEOKOKA warumi 1:9
HATUA 2: TUBU Zaburi 66:18, 1Yohana 1:9, Isaya 43:25
HATUA 3: SOMA MAANDIKO Isaya 55:10-11,2Timoth 3:16-17
HATUA 4: MWABUDU MUNGU 2Wakorintho 5:11-14,20:21-22, Matendo 16:25-26
HATUA 5: OMBA KWA IMANI Waebraia 11:6, Yakobo 1:6-8.
HATUA 6 :AMINI  -Amini kwamba mungu amekwisha jibu maombi yako.
HATUA 7 :AMINI KWAMBA MUNGU ANAKUPENDA Yohana 3:16, Heb 7:25
HATUA 8 :JIZOEZE MAOMBI YA MFUNGO Mathayo 17:21
HATUA 9 :SHUHUDIA MUUJIZA WAKO. Mathayo 21:21-22, Mark 11:24.
HATUA 10 :TII NENO LA MUNGU .Ishi maisha matakatifu –Jifunze kumtolea mungu pamoja na kuwasaidia wengine.
HATUA 11: DUMU KATIKA MAOMBI  Zaburi 125.

LAKINI PIA KUNA MAMBO MAKUU MATANO MUHIMU UNAPOANZA MAISHA MAPYA KATIKA KRISTO
        i.            Zungumza na mungu kwa maombi kila siku (Yohana 15:7)
      ii.            Soma neno la mungu kila siku Matendo 17:11.
    iii.             Mruhusu roho mtakatifu akutawale wagalatia 5:16-25, warumi 8:14-17.
    iv.            Umtumaini mungu kwa kila jambo katika maisha yako 1Petro 5:7, Zakaria 4:6.
      v.          .  Kusanyika na kushiriki na watu wengine Waebrania 10:25.(ITAENDELEA)
 

No comments:

Post a Comment