Saturday, May 10, 2014

LET US SHARE THIS TODAY





WOKOVU UJUE  WOKOVU KWA KUSOMA MAHANDIKO LEO NAKUPA VIPENGELE VICHACHE TU VIKUSAIDIE


  • Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. - Yohana 3:16
  • kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; Warumi 3:23
  • Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. - Warumi 6:23
  • Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. - Yohana 14:6
  • Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; - Yohana 1:12

No comments:

Post a Comment