HATUA ZA KUFUATA MARA ZOTE UNAPOKUWA KATIKA ENEO LA MAOMBI
HATUA 1: HAKIKISHA UMEOKOKA warumi 1:9
HATUA 2: TUBU
Zaburi 66:18, 1Yohana 1:9, Isaya 43:25
HATUA 3: SOMA
MAANDIKO Isaya 55:10-11,2Timoth 3:16-17
HATUA 4:
MWABUDU MUNGU 2Wakorintho 5:11-14,20:21-22, Matendo 16:25-26
HATUA 5: OMBA
KWA IMANI Waebraia 11:6, Yakobo 1:6-8.
HATUA 6 :AMINI -Amini kwamba mungu amekwisha jibu maombi
yako.
HATUA 7 :AMINI
KWAMBA MUNGU ANAKUPENDA Yohana 3:16, Heb 7:25
HATUA 8 :JIZOEZE
MAOMBI YA MFUNGO Mathayo 17:21
HATUA 9 :SHUHUDIA
MUUJIZA WAKO. Mathayo 21:21-22, Mark 11:24.
HATUA 10 :TII
NENO LA MUNGU .Ishi maisha matakatifu –Jifunze kumtolea mungu pamoja na
kuwasaidia wengine.
HATUA 11: DUMU
KATIKA MAOMBI Zaburi 125.
No comments:
Post a Comment